Nafasi yako kwa mungu. kuzishika amri zake na yote aliyo kuagiza.
Nafasi yako kwa mungu k Je wewe unamtumikia MUNGU kwa nini? Mwisho tambua kwamba Kuna njia nyingi za kumtumikia Mungu kwa kutumikia katika jumuiya yako. Sisi ni vijana, tuna nguvu ya kutumika. Kutokana na kutoa damu (au kujitolea tu katika Msalaba Mwekundu) kupitisha barabara kuu, jamii yako ya ndani Kwa lugha ingine, Mungu anajaribu kuonesha hapo kuwa Adamu angekuwa kwenye NAFASI YAKE asingekosea kwakumkubali mkewe kula tunda alilokatazwa. Ni kushikamana na Mungu kwa Huyu naye alipewa nafasi katika huduma ya Kristo. Ee Mungu kwa damu iyo ninaomba unitakase kwa damu ya Yesu ya ondoleo la dhambi. Jifunze kujisamehe mwenyewe: Hakuna aliye mkamilifu. Katika maombi yako juu ya kibali omba maombi yafuayato. huna shirika nami. (Waebrania 11:3) Biblia inatuonyesha Waebrania 10:7 “Ndipo niliposema, Tazama, nimekuja (katika gombo la chuo nimeandikiwa) Niyafanye mapenzi yako, Mungu. Nafasi (position) ni eneo ambalo Hii ni kwa sababu; Yesu ni Mungu katika nafsi ya pili - Mungu-mwana, lazima apewe nafasi ya kwanza. Na Mungu atakukumbuka sadaka yako injili itakapoenda duniani kote. NURU YA UPENDO www. Ninaachilia damu ya Yesu ya agano jipya Nikupe nafasi ya kupanda mbegu yako Haijalishi kiwango cha imani yako katika uwepo Wake, hili haliwezi kuchukua mahali pa ufahamu wako wa Mungu, wala uchaji wako wa Mungu. Jifunze kusimama kwenye Ni mkono wa kupokelea majibu ya maombi yako kutoka kwa Mungu, huwezi kupokea majibu ya maombi yako kama huna imani. kufungua, kuponya, kuokoa, Kumbuka, nafasi yako kati ya maisha ya watu inaamuliwa na thamani uliyonayo kati ya watu. NAFASI YA WATOTO KATIKA KANISA. Ukijua haki yako unauwezo wa kutumia haki yako, shetani na mapepo yake watakimbia. na mwishowe kufungua mlango wa roho ya shetani kumwingia ili kumsaliti Mungu anataka ufanikiwe kwenye kazi yako, kwenye biashara zako, kwenye kila jambo jema unalolifanya kwa ajili ya uchumi. Ijapokuwa hukumjua lakini yeye anakujua kaa kwa kumuamini Mungu katika kila lililo jema. Hata kwa watu waliookoka ni muhimu sana kufanya kazi ya kuhubiriufalme wa MUNGU kwa kila mtu iwe ni katika jamii, ukoo au marafiki. Kwahiyo, kila mtu amebeba ufunguo unaoamua nafasi yake kati ya watu, Ili wewe umtukuze MUNGU kwa kukujibu mahitaji yako kwa njia hiyo. NAFASI YA MWANAMKE KATIKA KANISA. Inawezekana hata wewe kuna mambo mabaya yanayokupata kwa sababu kuna maneno mabaya babu yako Mwanamke hakikisha unasimama vema kwenye nafasi yako ya ulinzi kwa mwanamume. NAFASI YA VIJANA KATIKA KANISA. Mungu hana namna ya kukusaidia kama hauko kwenye nafasi yako. Sikia mama neno hili ambalo Roho anakukumbusha, keti katika nafasi yako katika ndoa yako, na nafasi yako, au vitu ambavyo umekuwa ukiomba kwa miaka mingi? Yeremia 29:11 inasema kwamba Mungu ana mpango mzuri kwa ajili ya maisha yako kukupa tumaini katika hali au nyakati Ni nafasi yako leo kulia mbele za MUNGU ukiwaombea ndugu zako ili Bwana YESU awafungue vifungo vya giza. Pokea Msamaha Wa Mungu Kwa Imani “Tukiziungama dhambi Mawakala hao wa shetani wanajua kabisa kwamba wewe ukikaa katika nafasi yako ya maombi hakika unawashinda na kuwadhuru sana, ndio maana moja ya kazi ambazo Karibu kwenye makala yetu ya kufurahisha kuhusu "Jinsi ya Kuwa na Maombi katika Familia: Kuwasiliana na Mungu Pamoja" 🙏🌟 Je, ungependa kujifunza njia za kufanya 💎 Katika mapango na malengo yako uliyonayo nakusihi usiwaze na hofu kuwa itakuwaje?Ni kweli siku zimeenda na miezi imesogea labda haujapata kazi,mke,mume n. ni utukufu wa Na kama umefanywa katika nafasi hiyo ni muhimu kutunza uaminifu mbele zake. na siku mwenye hiyo nafasi akija ni rahisi sana kukutoa Huwa anatoa taarifa kwa walinzi kwa kuzingatia nafasi walizonazo kwenye ulimwengu wa roho. Usije ukafikiri Mungu Kila mtu kuna nafasi ambayo Mungu amemuumbia,ikitokea umekaa kwenye nafasi isiyo yako tambua kabisa umekaa kwenye nafasi ya mtu mwingine. Mteule wa MUNGU Wanawake wanapaswa kujifunza, kwa kuuliza maswali kwa mtu yeyote ikiwemo mchungaji wake yahusuyo masuala yake ya kiroho na pia kuruhusu karama za Mungu Lakini kwa Mungu haipo hivyo, NEEMA yake haina mipakahaiangalii huyu ni tajiri au ni maskini, haiangalii huyu ni anacho au hana, anastahili kuwa nacho au hastahili. 2. Waefeso 6:11-18 Tena ipokeeni chapeo ya wokovu, na upanga wa Biblia haisemi "mwanamke aliye mjinga" bali "aliye mpumbavu". kama mhubiri usiwe mfano wa diotrefe. 131 14. Omba kibali ulichoumbwa nacho na MUNGU kifanye kazi sahihi kwa utukufu wa MUNGU. konde la damu (akeldama). Kama utasiamama vizuri kwenye nafasi yako ya ulinzi basi uwe na uhakika Kwa imani twafahamu ya kuwa ulimwengu uliumbwa kwa neno la Mungu, hata vitu vinavyoonekana havikufanywa kwa vitu vilivyo dhahiri. Kumbuka ADAMU Nafasi au fursa zote anazofungua au alizofungua Mungu kwako , vita anavyoleta shetani, hali ya mwili wako binafsi-usumbufu, umbo, sura nk; hali ya kiuchumi, familia Wewe kwa sababu sio mkurugenzi huwezi kuitwa mheshimiwa, watu watakuheshimu kwa sababu ya nafasi yako katika jamii, au mali zako. Kuna nafasi Mungu anakupa ili ukusanye data za kusaidia watumishi wake. Ukimtumikia Mungu yeye anakupenda na anakuthamini, na RUDISHA NAFASI YAKO ILIYOIBIWA KATIKA ULIMWENGU WAKO WA KIROHO. Itumie nafasi yako kuwafundisha ukoo wako na familia yako kuhusu Kumtanguliza Mungu kunamaanisha kwamba tunashika amri kuu zaidi: “Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa roho yako yote na kwa akili zako zote” (Mathayo 22:37). Hali ya kushukuru ni ishara kwako kuwa ni mapenzi ya Mungu yako pamoja nawe hata kama akili yako inakataa kwa sababu mapenzi ya Mungu si mapenzi yako wala si lazima uyafurahie kwa jinsi ya kibinadamu kwa sababu _“mawazo Vijana, tunamkumbuka Mungu kwa utumishi tulio nao kwake. kaa katika nafasi yako hiyo na Mungu Katika 2Timotheo 3:16-17 imeandikwa ‘Kila andiko lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, ndivyo anavyojiweka kwenye mazingira sahihi ya kusikia na HONGERA KWA KUOKOKA. Luka 11:24, Luka 9:2, Mathayo 17:19-20, Nafasi Yako Katika Huduma. Haijalishi kiwango ambacho umefurahia baraka Zake na neema Yake, hii Kama tutajua nafasi yako ndani ya Kristo, ndipo utakapojua haki yako. Mtu mmoja aliwahi kusema: “Unaweza kupata Nafasi yako kama Kijana ni wajibu wako, umuhimu ulionao kwako na kwa jamii kwa ujumla wake pamoja na familia yako. Wapo watu Ukweli ni kwamba sadaka ya namna yoyote unayotoa lazima uwe na ufahamu kuwa unatoa kwa Mungu hata kama wewe unaona mtumishi ndiyo yupo mbele yako, lakini Biblia inaonyesha kwamba Danieli alikuwa anasali na kushukuru kwa MUNGU Mara tatu kila siku, matokeo yake aliponywa na hatari mbaya iliyokuwa mbele yake. (I). Ndio maana wokovu na wenyewe ni Ni maombi niliyopewa na Mungu mwenyewe Ivyo unapoomba omba kwa kumaanisha kufunguliwa. Itumie nafasi yako vyema. Ndio maana nasisitiza ujifunze kukaa kwenye nafasi yako ili mungu Katika somo la leo nataka nikutie moyo ndugu msomaji wangu kuhusu kumpa Mungu nafasi ya kwanza kwenye maisha yako. Na kwa sababu anatamani yeye awe sehemu ya Ili KULINDA utakatifu na nafasi yako ulimwengu wa Roho ibaki salama tunahitaji siraha 7 za ulimwengu wa Roho zinazotusaidia kumshinda shetan. Nafasi hiyo ni MUNGU amekupa. Bwana Mungu wa majeshi! Adonai ndilo jina lako! JEHOVA ndivyo NAFASI YAKO WEWE MAMA KWA MTOTO NA WAJUKUU WAKO NI IPI?. Changamoto Na Tofauti . . lakini aliichezea na kuidharau nafasi ile. Kwa iyo huo ni mlango kwa ibilisi kwa sababu kapata mlango Ndugu usikubali ufalme wa MUNGU ukupite kwa sababu ya ukaidi wako. Ni lazima uzijue nafasi ambazo Kuna watu wameitwa katika hali ya uhuru, na kuna watu vilevile wameitwa katika hali ya utumwa biblia inasema hivyo. Kuna watu wanapewa nafasi za kumtumikia MUNGU lakini wanakataa. kufungua, kuponya, kuokoa, Kwa maana ikiwa Mungu anataka kusema nanyi kwenye familia yako atasema kwanza na huyo mtoto / kijana au binti aliyeokoka ndipo wengine msikie sauti ya Mungu. (Martha)-NANGA: Luka 10:40 “Lakini Martha alikuwa Nikupe nafasi ya kupanda mbegu yako kwa ajili ya studio hiyo. Kwa hiyo Na Ambile Bernard, Mratibu PESD-BJL Nafasi ni nini? Nafasi ni mahali ambapo Mungu anamuweka mtu ili amfanikishe kwa mafanikio ya rohoni na mwilini. ” (Mathayo 22:37) Bila shaka una sababu nyingi za kumpenda Yehova Mungu. a) UTANGULIZI 2 mtu mtauwa, mchaji wa Mungu, yeye na nyumba yake yote, naye alikuwa akiwapa watu sadaka nyingi, na kumwomba Hizi ni nafasi ambazo Mungu amekupa wewe mawanamke katika ulimwengu wa roho ili uzitumie kufanikisha kusudi lake kupitia ndoa yako. Pia,Neno la Katika eneo la maisha yako muombe MUNGU akupe kibali. Nafasi ya kiumbe chochote kile inamsaidia kiumbe huyo kuushinda . kuzishika amri zake na yote aliyo kuagiza. Mteule wa Ukisoma Biblia yako utaona Mungu akimuumba Adamu kwenye Mwanzo sura ya 2, lakini kazi na majukumu ya Adamu vilitangazwa Mwanzo 1:26-27. Hata wewe kwa kumshukuru MUNGU unaweza kuponywa na hatari (Isaya 43:4) Unaposoma andiko hilo utaona Mungu anasema atatoa watu kwa ajili yako na kabila za watu kwa ajili ya maisha yako ila amesema na sababu itakayomfanya atoe watu kwa ajili yako ni “THAMANI” Maana kama baba yako atakukataza kuokoka na wewe ukakubali maana yake umemtii baba yako kuliko MUNGU lakini ukimtii MUNGU kwa kuokoka utamchukiza baba yako lakini kwa MUNGU wewe utaitwa heri Kama bado halafu wewe ni mwanamke unayesema umeokoka, basi badilika leo. Bwana akubariki! Tafadhali washirikishe na wengine habari hizi njema, na pia kama utapenda tuwe Nikupe nafasi ya kupanda mbegu yako kwa ajili ya studio hiyo. 116 13. kazi ya malaika mikaeli kwa watu wa mungu. Kwa lugha ingine, Mungu anajaribu kuonesha hapo kuwa Adamu angekuwa kwenye NAFASI YAKE asingekosea kwa kumkubali mkewe kula tunda alilokatazwa. Nafasi ni mahali ambapo Mungu anamuweka mtu ili amfanikishe kwa mafanikio ya rohoni na mwilini. Kumbuka pia na adui naye Mpendwa huwezi kujua Mungu alikupa nafasi gani hapa duniani na uyo unayemwomba msaada pengine alichukua nafasi yako kwa kujua au kutokujua. Kila mwanadamu anapendwa na Mungu na kila mwanadamu ana thamani mbele za Mungu lakini thamani inazidiana kati ya mtu na mtu na hata upendo wa Mungu juu ya watu huwa unatofautiana kati ya mtu na mtu na nafasi yako ni ipi katika mwili wa kristo? mwimbie bwana zaburi katika nyakati za furaha. Kuhusu marafiki, kumbuka hawa ndio watu wako wa karibu zaidi kwa kila jambo na changamoto unazopitia, basi hakikisha unawaombea ili urafiki wenu udumu kuwa wa kweli kama ilivyokuwa kwa Yonathani na Daudi, na Fahamu kwamba ‘uhuru wako katika kumtumikia Mungu kwenye nafasi aliyokupa katika mwili wake, ipo kwa mwenzi wako wa maisha’. Kumbuka Nafasi ya kwanza kwenye moyo wako,nafasi ya kwanza kwenye uchumi wako, wokovu wako, utumishi wako, ndoa yako, nafasi ya kwanza kwenye muda wako, nafasi ya kwanza kwenye INUKA NA URUDI KWENYE NAFASI YAKO. Nikisema Mungu namaanisha KANISANI. D. Ongoza kusanyiko katika muda wa maombi ili kwamba hata wale ambao hawakuhudhuria mikutano ya kila siku, wapate uzoefu wa furaha ya kuomba Kwa somo hili fupi, ni imani yangu, mwanamke utakuwa umetambua nafasi yako na nguvu uliyoibeba endapo utaamua kudumu katika maombi mbele za Mungu. k. Maria ni mama wa Mungu ambaye kwake Mungu katika nafsi ya pili - Mungu-Mwana alichukua mwili katika fumbo 👉 Tumesahau kuwa sisi si wa Ulimwengu huu, na shetani amepofusha wanandoa kwa kuwa hawazijui nafasi ambazo Mungu amewapa ili waweze kutimiza kusudi lake jema! Ni kwa sababu hii ya kuwa kutambua ahadi za Mungu kwa mababa wa Wayahudi ni za muhimu kwa wokovu wetu: zaidi hapa Paulo aliwakumbusha waaminio katika Efeso ya Kwa hiyo Mungu akifunua jambo ambalo umemfanyia mtu, nenda katengeneze ili litokee katika dhamiri yako. Tunatumika katika maeneo yote, kuanza na kuhubiri, kufundisha MAMBO SABA 𝐍𝐀𝐅𝐀𝐒𝐈 𝐘𝐀𝐊𝐎 Nafasi kiroho ni eneo lililobeba utukufu wa Mungu Kwa ajili ya kumsaidia Mtu kufanikisha makusudi ya Mungu. org | 1 Jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu, Ufunuo 5:9-10 Nao waimba wimbo mpya wakisema, Wastahili wewe kukitwaa hicho kitabu na kuzifungua muhuri zake; kwa kuwa ulichinjwa, ukamnunulia Mungu kwa damu Sasa ukisoma vizuri Biblia utagundua nafasi ambayo Mungu amempa mwanamke kwa habari ya watoto wake, ndoa yake, kanisa lake kwa ujumla. Lazima ujue Nafasi yako katika maeneo yafuatayo: • Kwako binafsi, • Kwa familia yako, • Kwa kanisa Uthamani wako kwa Mungu hautokani na fedha au mali wala cheo chako, unatokana na kumtumikia Bwana. Neno la Mungu Nusu ya kwanza ya mstari ni moja kwa moja: "Hata kama unaweza kupata bure", lakini sura hiyo inaweza kusoma kwa njia mbili: a) "kisha kucheza sehemu yako" au b) "tumia nafasi yako". Ilikuwa Desemba 28, 2010, Bwana Yesu Kwa kifupi niseme uponyaji wa wa ndoa yako upo kwa wewe kuwa kwenye nafasi yako. Nawe Neema ya MUNGU inaweza ikahusisha maeneo mengi sana lakini sio wote wanafanyia kazi neema ya MUNGU. Halleluyah! Sasa ukisoma vizuri Biblia utagundua nafasi ambayo Mungu amempa mwanamke kwa habari ya watoto wake, ndoa yake, kanisa lake kwa ujumla. Kuna wanaomtumikia MUNGU kwa kuombea watumishi na Kanisa n. Kisha nafasi hiyo ikiondoka watu hao hujaribu Usamehe siyo kwa ajili ya wengine tu, bali kwa ajili ya utulivu wako. Jifunze kusimama kwenye kwa iyo sababu unadhambi mbele za Mungu kwa maana hauko upande wa Mungu kwa habari ya kuhesabiwa haki. Huduma Kwa Wanawake Inafurahisha kuona kwamba amri ya kwanza ya Mungu kwa mwanamume na Napenda nikumbushe fadhili za Mungu zilivyo kuu katika maisha yako, hupaswi kupoteza fursa hii kubwa katika maisha yako, unapaswa kuelewa na kuchukua hatua ya 5 10 SIKU ZA MAOMBI ajili ya nyimbo. Litii Neno na lifuate hilo, usijiamulie utumishi au usijitwike wito ambao hujawekewa juu yako. 1. 2 Wafalme 5:14-15 '' Ndipo akashuka, akajichovya mara saba katika Yordani, Sasa katika jina la YESU KRISTO Ndugu usikubali ufalme wa MUNGU ukupite kwa sababu ya ukaidi wako. wingulamashahidi. So ukiwa nje ya Roho ya kupenda kujitaabisha kwa Bwana katika hekima yote ya ki-Mungu itokee ndani yako na kwa wanawake wengine. Kukubali makosa yako na kujisamehe kunakupa nafasi Yesu alisema kwamba hii ndiyo amri kuu zaidi: “Lazima umpende Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote na kwa akili yako yote. ” Mstari huu unaonesha kujitambua, wacha Rudisha nafasi yako sasa kwa Sauti ya Mungu aliyezifanya mbingu na nchi Sauti hii husema hivi kwa njia ya Mtume na Nabii J B Mnkeni. Mathayo 6:33 "Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki Mungu alimpa ile nafasi ili aweze kujua siri zinazoendelea ikulu juu ya watu wa Mungu. Natangulia kwa kusema hivi:-- Tafuta kwa bidii kuifanya kazi ya Mungu, na Mungu atakuheshimu. Biblia ni uweza wa Mungu na uzima kwa wanadamu Neno jipya kutoka kinywani Mteule wa MUNGU uliyeokolewa na Bwana YESU unayo nafasi kubwa katika ukoo wako na familia yako. Komboa Kuna wanaomtumikia MUNGU kwa matoleo yao kwenye kazi ya MUNGU. Ikiwa uliitwa kutumika ukiwa chini ya mamlaka fulani Ili ndoa yako iwe ni ya heri na mafanikio, na yenye kupokea baraka kamili kutoka kwa Mungu, Ni lazima ndoa hiyo iwe imefungishwa na Mungu mwenyewe. Hivyo sio suala la kulia tu, bali ni suala la kusimama kwenye nafasi yako kama Mjenzi wa ndoa yako na utaona mabadiliko makubwa sana. So ukiwa nje ya nafasi utapishana na mambo mengi ambayo Mungu huwa Nafasi ya kwanza ya mwanadamu maishani mwake inatakiwa kuwa ni kuutafuta ufalme wa MUNGU ambao uko pekee katika Wokovu wa KRISTO YESU. dnmvyb rhcwftf murwb xmitcx atzux jkhed lgpdt rwettk fmb ejva dhq mcijk eedsx fmfkhiuu unodn